Askofu Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzaia (KKKT) Dayosisi ya Kati, Dkt.Alex Mkumbo akisalimiana na waumini wa kanisa hilo baada ya kuongoza ibada ya Krismasi iliyofanyika Kanisa la Msalaba Mrefu mjini Singida leo. (Picha na Dotto Mwaibale)
Askofu Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzaia (KKKT) Dayosisi ya Kati, Dkt.Alex Mkumbo akiwa na viongozi wengine wa kanisa hilo wakati akihitimisha ibada hiyo.
waumini wa kanisa hilo wakitoka kwenye ibada hiyo.
waumini wa kanisa hilo wakiwa nje ya baada ya kumalizika kwa ibada hiyo.
waumini wa kanisa hilo wakitoka kwenye ibada hiyo.
Kwaya Kuu ikitoa burudani baada ya kumalizika kwa ibada hiyo
Waumini wa kanisa hilo wakiwa nje ya kanisa hilo baadaya kumalizika kwa ibada hiyo ya Krismasi.
 

Share To:

dotto mwaibale

Post A Comment: