Mkuu wa Wilaya ya Arumeru Eng.Richard Ruyanga amezindua rasmi club ya jogging ya UVICCM Wilaya ya Kichama Meru.
Aidha uzinduzi huo umefanyika kwa Mkuu wa Wilaya kuongoza mazoezi ya kukimbiza katika viunga vya Kata ya USA -River.
Mwenyekiti wa UVCCM Ndg.Faraja Laizer amesema uzinduzi wa club hiyo ni Wito kwa vijana kufanya mazoezi kuimarisha afya zao,pia ni wito kwa jamii kwa hiyari kupata chanjo ya UVIKO -19
Vijana ni Nguvu kazi,pata chanjo ya Uviko-19 kwa hiyari. UVIKO -19 inazuilika
Post A Comment: