Home
MATUKIO
Watoto sita wafariki dunia na wengine kujeruhiwa katika ajali ya gari Tanga
WATOTO sita wamefariki dunia leo na watatu kujeruhiwa vibaya baada ya gari lililokuwa limebeba majani ya chai kupinduka kutoka kijiji cha Kimbo, Wilaya ya Korogwe, Tanga..Majeruhi katika ajali hiyo wamepelekwa hospitali ya Korogwe.
Miili ya watoto waliofariki katika ajali hiyo.
Back To Top
Post A Comment: