Askari wawili na raia watatu wameuawa kwa kupigwa risasi na mtu mmoja aliekuwa na silaha mjini Liege nchini Ubelgiji.
Mshambuliaji alikimbilia katika shule moja na kumteka mwanamke mmoja. Polisi imefaulu kumdhibiti mtu huyo aliendesha shambulizi hilo. Polisi wengine wawili wameripotiwa kujeruhiwa katika tukio hilo.
Taarifa nyingine inaarifu kuwa mtu huyo aliendesha shambulizi ameuawa na jeshi la Polisi.
Mshambuliaji alikimbilia katika shule moja na kumteka mwanamke mmoja. Polisi imefaulu kumdhibiti mtu huyo aliendesha shambulizi hilo. Polisi wengine wawili wameripotiwa kujeruhiwa katika tukio hilo.
Taarifa nyingine inaarifu kuwa mtu huyo aliendesha shambulizi ameuawa na jeshi la Polisi.
Post A Comment: