kikosi kamili cha Yanga SC Vs Singida United hiki hapa msumbanews on April 11, 2018 MICHEZO, Klabu ya Yanga imetangaza kikosi chake kitakacho shuka uwanja wa taifa hii leo kucheza na Singida United mchezo wa ligi kuu Tanzania Bara bila kumtaja kocha wao Mkuu, George Lwandamina kama ilivyozoeleka wakati wanapotoa majina ya wachezaji. Share To: NextNewer Post PreviousOlder Post msumbanews View Profile
Post A Comment: