MPENZI wa zamani wa mwanamuziki Diamond Platnumz, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’ baada ya kusaini mkataba na kuwa balozi wa Kampuni ya Keds Tanzania inayojishughulisha na utengenezaji wa taulo za watoto.
Hafla iliyofanyika kwenye Hoteli ya New Africa jinini Dar es Salaam. Baada ya kuondoka Tanzania ameamua kwenda kula bata na watoto wake kwa upande wa marehemu Ivan Ssemwanga.
Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’ Dubai.
Zari akiwa na watoto wake kwa upande wa marehemu Ivan Ssemwanga.
q
Share To:

msumbanews

Post A Comment: