Mkuu
wa wilaya ya Morogoro Albert Msando leo Agosti 10 2021 amepokea Mwenge
wa Uhuru kutoka wilaya ya Gairo ,ambapo mwenge huo utatembelea miradi
saba ambayo inagharimu zaidi ya bilioni 1.3.
Kushoto
ni Mkuu wa wilaya ya Morogoro Albert Msando akipokea Mwenge wa Uhuru
kutoka kwa Mkuu wa wilaya ya Gairo Jabir Omary Makame. Picha na Jackline Lolah Minja - Morogoro
Post A Comment: