Kutoka Chato mkoani Geita kwenye ibada maalum ya mazishi ya aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tano Hayati Dkt. John Pombe Magufuli. Tayari viongozi mbalimbali na wananchi wameshawasili katika uwanja wa Magufuli ambapo shughuli za ibada zitafanyika.









 






Share To:

Post A Comment: