Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Vunjo amemtangaza Dkt. Charles Kimei wa Chama cha Mapinduzi-CCM  kuwa mshindi wa Ubunge katika Jimbo hilo baada ya kupata kura 40,170 – Grace Kiwelu wa CHADEMA amepata kura 8,675, James Mbatia wa NCCR amepata kura 4, 949 na Agustino  Mrema kutoka TLP kura 606
Share To:

Post A Comment: