Wabunge
wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti wameelezea kufurahishwa na
ufanisi wa utekelezaji wa majukumu ya Ofisi ya Msajili wa Hazina, baada
ya kutembelea na kukutana na Menejimenti ya ofisi hiyo yenye jukumu la
kusimamia Taasisi, Mashirika ya Umma na Kampuni ambazo Serikali
inamiliki hisa.
Katika mkutano kazi huo, Msajili wa Hazina, Athumani Mbuttuka alitoa taarifa ya utekelezaji wa shughuli mbalimbali zinazofanywa na ofisi yake inayosimamia mashirika na taasisi 266.
Katika mkutano kazi huo, Msajili wa Hazina, Athumani Mbuttuka alitoa taarifa ya utekelezaji wa shughuli mbalimbali zinazofanywa na ofisi yake inayosimamia mashirika na taasisi 266.
Post A Comment: