Mwenyekiti wa Chipukizi Taifa anayemaliza muda wake Ndugu Nimka Stanley Lameck akiongea na wajumbe wa Mkutano Mkuu wa saba wa Chipukizi Taifa unaofanyika katika Ukumbi wa Sekondari ya Dodoma leo tarehe 14/12/2019 jijini Dodoma. 
Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa saba wa Chipukizi Taifa wa Umoja wa Vijana wa CCM wakimsikiliza kwa makini Mwenyekiti wa Chipukizi Taifa anayemaliza muda wake Ndugu Nimka Lameck katika Mkutano Mkuu wa saba unaofanyika jijini Dodoma. 
Makamu Mwenyekiti wa Chipukizi wa Umoja wa Vijana Taifa Ndugu Pili Suluhu Hassani akiaga wajumbe wa Mkutano Mkuu wa saba wa Chipukizi Taifa unaofanyika jijini Dodoma. 
Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa saba wa Chipukizi Taifa wakiwa katika shamrashamra za Uchaguzi wa kuchagua Viongozi wapya wa Chipukizi Taifa. 
Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi Ndugu Raymond Mwangwala akitoa Hotuba katika Mkutano Mkuu wa saba wa Chipukizi wa Umoja wa Vijana wa CCM Taifa unaofanyika jijini Dodoma.

Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Chipukizi Taifa wakisikiliza kwa makini hotuba ya Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa CCM Taifa Ndugu Mwl Raymond Mwangwala. 
Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Chipukizi Taifa wakiwa tayari kwa Uchaguzi Viongozi wapya wa Chipukizi Taifa katika Mkutano Mkuu wa Chipukizi Taifa unaofanyika jijini Dodoma.
    
Picha zote na Fahadi Siraji wa UVCCM

Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa Vijana Wa Chama Cha Mapinduzi (Katikati)Mwl Raymond Mwangwala akivikwa Skafu na Chipukizi wa Umoja wa Vijana alipowasili katika Ukumbi wa Shule ya Sekondari DodomaUnapofanyika Mkutano Mkuu wa Chipukizi Taifa  
Meza Kuu Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana Mwl Raymond Mwangwal (katikati) kulia ni Mwenyekiti wa Chipukizi Taifa anaemaliza muda wakeNdg Nimka Stanley pamoja na Mkamu mwenyekiti wa Chipukizi Taifa anae Maliza Muda wake Ndg Pili Suluhu Hassan Meza Kuu 
Chipukizi Wakifurahi 
Kaimu Katibu wa Idara ya Uhamasishaji na Chipukizi Ndg Leonard Singo akitoa maelezo 
Chipukizi akifurahi  
Share To:

msumbanews

Post A Comment: