Dkt. Zakia anachukuwa nafasi iliyowachwa wazi na Profesa Idris Ahmada Rai ambae anamaliza muda wake wa kutumikia wadhifa huo kwa mujibu wa sheria.
Uteuzi wa Dkt Zakia umefanyika kwa mujibu wa uwezo aliopewa Rais, chini ya kifungu cha 9 (1) cha Sheria ya Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar, namba 8 ya mwaka 1999.
Aidha, uteuzi huo utaanzia Septemba, 06, mwaka huu.
Post A Comment: