Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali zaMitaa Selemani Jafo akitoa maelekezo wakati alipotembelea ujenzi w ahospitali yaMorogoro Dc inayojengwa katika eneo la Mvuha kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Kebwe Steven Kebwe.
Kutoka Kushoto ni Waziri wa Nchi OR-TAMISEMI Selemani Jafo akifuatiwa na Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Kebwe Steven Kebwe, Mkuu wa Wilaya ya Morogoro Regina Chonjo na Mkurugenzi wa Morogoro Dc Masoud Rioba wakifuatilia taarifa ya matumizi ya fedha za ujenzi wa hospital yaMorogoro Dc wakati wa ziara yakukagua maendeleo ya ujenzi huo.
Muonekano wa moja ya majengo ya Hospital yaWilaya ya Morogoro
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa SelemaniJafo(katikati) akisisitiza jambo wakati
alipotembelea ujenzi wa hospitali Wilaya ya Morogoro inayojengwa katika eneo la Mvuha
wa Nchi Ofisi ya RaisTawala za Mikoa na Serikali za Mitaa SelemaniJafo(Mb) amehoji matumizi ya shilingi mil 60
manunuzi ya dawa ya mchwa katika jengo la Hospital ya Wilaya ya Morogoro linaloendelea kujengwa katika eneo
la Mvuha.
Mhe.Jafo a lihoji matumizi hayo baada y akutoonekana kwa kipengele hicho kwenye taarifa ya matumizi za fedha za ujenzi wa
hospital hiyo pamoja na gharama kubwa iliyotumika kununulia dawa hizo.
Akiwa katika ziara yake ya kukagua ujenzi wa
hospital za Wilaya yaMorogoro Jafo alipokea taarifa ya ujenzi yenye mchanganuo wa matumizi ya fedha zaidi ya TshBilioni moja ilihali kipengele
cha ununuzi wa dawa hizo za mchwa uliotumia zaidi ya Shilingi mil 60 kutoonekana kwenye matumizi yaliyowasilishwa.
Mhe.Jafoalihojiendapodawayakudhibitimchwailiwekwakwenyemajengohayonakujibiwakuwandionakazihiyoilifanyikakwagharamayashilingimilioni
60 ndipoalipoulizakwaninimatumiziyafedhahizohayajawekwakwenyetaarifa.
“Beiyaununuziwadawahiyosihalisinasijuikamamlijaribukujilinganishanawenzenuwahalmashaurinyingineilimfahamukuwawalitumiakiasiganikwenyeununuziwadawakamahiyonikiasigani
au ninyimmenunuadawayaainaganiambayoimegharimukiasihikikikubwa cha Fedha”
AlihojiJafo
Jafoaliongezakuwakamamlinunuadawahiyokwaninimatumiziyafedhahizohayaonekanikwenyetaarifayenu,
napatamashakanamatumiziyafedhahizohapanilazimaijeTimumaalumukwaajiliyakuchunguzamatumizimabayayafedhazaMradiwaUjenziwaHospitalihiialiongezaJafo.
Wakati
huohuoJafoalisemakuwakwakipindikirefuhalmashauriyaMorogoro Dc
imekuwanamatumiziyasiyoridhishayafedhazamiradimbalimbaliyamaendeleohalihiyoinaonyeshadhahirikuwakunachangamotoyakiungozi.
“Hapakunatatizokubwanalazimatulipatieufumbuzihaiwezekaninyiemaramnashindwakutekelezamiradikwa
wakati kuanziaujenziwaJengo la Halmashaurishilingimilioni 500 hazijulikaniziliponampakaleoJengohalijajengwasasamnatakatenatabiahiyomuiletekwenyemradiwa
Hospital safari hiimtamalizaujenzihuuhaijalishifedhamnazo au
mmezitumianilazimamkamilisheujenzi.
MpakasasammekwishatumiashilingiBil
1kujengamajengohayaambayohayaridhishihnahamjafikiahatakwenyehatuayakupauahukumnaniambiammebakiwanashilingimilioni
400 sitakikusikiasababuyeyoteninachotakanikuonaifikapoJulai 30 Hospital
hiiimekamilika” AlisemaJafo.
Akitoleaufafanuzichangamotozilizojitokezakatikaujenziwa
hospital yaWilayaMkuuwaWilayayaMorogoroMhe. Regina
Chonjo amesema KamatiyaUlinzinaUsalamaimekuwaikishaurikila wakati namna bora
nayaharakayakukamilishamradihuolakinikumekuanamuitikiomdogowawataalamuwaHalmashaurikatikakutekelezayaleyanayoshauriwanaKamatihiyo.
Naye MkurugenziwaHalmashauriyaMorogoro
Dc Masoud Rioba alifafanua manunuzi ya dawazakuuaMchwakuwayalijumuishwakwenyetaarifayamradikatikakipengele
cha
vifaavyaujenzinasiokwenyekipengelekinachojitegemeandiomaanasiorahisikuionakwauharaka.
“Manunuziyadawayamejumuishwakwenyevifaavyaujenzihaionekanikwaharakakwasababuhatukuiwekapekeyakenagharamayakenishilingi
mil 60 hiinibaadayakununualita 1500 ambazondizozilizokuwazinahitajikanakilalitamojailikuanagharamayazaidiyashilingielfu
55 hivyokuletagharamayazaidiyashilingimilionisitini” AlisemaRioba
Akifafanuakuhusufedhazilizobakiakamazinawezakukamilishaujenziwa
Hospital
hiyoamesemampakasasavifaavingivimekwishanunuliwahivyofedhahiyoiliyobakiaitawezakufanyakazizaukamilishajiwamajengohayonaamemuhakikishiaMhe.
Waziriwa Nchi kuwa kazihiyoitakamilikakwafedhazilizobakia.
Wakatihuohuommojawamafundiwanaotumikakatikakazizaujenziwa
hospital hiyoamelalamikakukosekanakwavifaavyaujenzikwamudamrefukatikaHospitalihiyohukumalipoyamafundihaoyakisuasuakitukilichoplekeakuwakatishatamaanamoraliwakuendeleakufanyakazihiyo.
MbalinachangamotozotehizozilizojitikezaWaziriJafoameagizauchunguziufanyikemaramoja
wakati huohuokaziyaujenziikiendeleanaUongoziuhakikisheujenziwa hospital
hiyoifikapoJulai 30, 2019.
Post A Comment: