Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimpa pole Mbunge wa Viti Maalum, Vicky Kamata kwenye uwanja wa Ndege wa Mwanza wakati aliposhiriki katika mapokezi ya mwili wa Paulina Kasama Selemani ambaye ni mama mzazi wa Mbunge huyo, uliosafirishwa kwa Ndege kutoka Dar es salaam kwenda Geita kwa mazishi, Machi 19, 2019.  Watatu kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Mhandisi Evarest Ndikilo ambaye ni kaka wa marehemu na kulia ni Mume wa Mbunge huyo, Dkt. Servicius Likwelile. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Share To:

Post A Comment: