Mke wa Rais Donald Trump, Melania Trump amefanyiwa upasuaji wa figo katika hospitali ya Walter Reed Medical Center.
Kwa
mujibu wa msemaji wa Melania, Stephanie Grisham amesema upasuji huo
umekuwa wenye mafaninikio makubwa na hakukuwa na matatizo yoyote
yaliyojitokeza.
Naye Rais Trump amethibitisha hilo kupitia mtandao wake wa Twitter huku akiwashukuru wote waliokuwa wakimuombea mkewe.
Taarifa
za kufanyiwa upauaji huo zilitolewa na Ikulu ya Marekani Jumatatu hii
huku ikidaiwa kuwa ataendelea kubakia hospitali kwa wiki yote hii ili
kuweza kupata nafuu zaidi.
Post A Comment: