Video vixen na msanii wa Bongo movie nchini Amber Lulu amekwaa dili refu la kutangaza kondomu za kiume.

Amber Lulu amefunguka kuhusu Dili hilo nono alilolipata huku akiweka wazi kuwa limeweza kumpatia mpunga mrefu:

"Nimepata mpunga mrefu nimshukuru Mungu, ni hatua moja ambayo nimepiga, so inabidi tushukuru Mungu wote”.

Baada ya kupata dili hilo Amber Lulu aliweka Habari hiyo njema na kuandika kupitia ukurasa wake wa Instagram:

Hii ni habari njema kwa Amber Lulu ambaye tayari anafanya vizuri na ngoma yake ya ‘Jini Kisirani’.
Share To:

msumbanews

Post A Comment: