Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli
amesema kuwa anavutiwa na maisha ya Rais Mstaafu wa awamu ya nne Mhe.
Dkt. Jakaya Kikwete kwani baada ya kustaafu anaonekana kijana zaidi na
anafanya mambo makubwa ya kulitumikia taifa letu na bara la Afrika.
Post A Comment: