Benki
ya CRDB yaingia mkataba na Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) wa ujenzi wa
jengo la kisasa la kutolea huduma katika lango kuu la chuo hicho.
Jengo
hilo (mchoro pichani) ambalo linatarajiwa kugharimu shilingi milioni
150, litakuwa kituo cha huduma za kisasa za Benki ya CRDB, ATMs na
skrini za kielektoniki zitakazokuwa na matangazo ya huduma zitolewazo na
benki pamoja na huduma za kujihudumia (Self Service).
Huduma
nyingine zitakazotolewa ni pamoja na zile za Chuo Kikuu cha Dodoma kama
za usalama, maelekezo kwa wageni wa chuo, na banda la ulinzi
Post A Comment: