Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Mary Francis Masanja akipata
maelezo Kutoka kwa Mkuu Ketengo Cha Mali kale na Idara ya Mawasiliano wa
Wizara ya Maliasili na Utalii Mwita William wakati Naibu Waziri
alipotembelea banda la Wizara hiyo katika maonesho ya Sabasaba jijini
Dar es Salaam.
Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Mary Francis Masanja akipata
maelezo kutoka kwa Mrajisi wa Chuo cha Utalii Laurent kaheta wakati
Naibu Waziri alipotembelea Banda la Wizara ya Maliasili na Utalii katika
maonesho ya Sabasaba jijini Dar es Salaam.
Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Mary Francis Masanja akipata
maelezo kutoka kwa Afisa Utalii wa Bodi ya Utalii Nchini (TTB) Naomi
Mbilinyi wakati Naibu Waziri alipotembelea Banda la Wizara ya Maliasili
na Utalii katika maonesho ya Sabasaba jijini Dar es Salaam.
Picha
mbalimbali katika Banda la Wizara ya Maliasili na Utalii wakati Naibu
Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Mary Francis Masanja alipotembelea
banda hilo katika maonesho ya Sabasaba jijini Dar es Salaam.
Naibu Waziri wa
Maliasili na Utalii, Mhe. Mary Francis Masanja amesema wananchi
watembelea banda la Maliasili katika maonesho ya 45 ya Biashara
Kimataifa yanayoendelea kufanyika Viwanja vya Mwalimu Julius Nyerere
Sabasaba kujionea vitu mbalimbali vya Utalii na Maliasili.
Masanja
ameyasema wakati wa Maonesho ya Sabasaba alipotembelea banda la
Maliasili . amesema kuwa banda hilo limesheheni vitu vingi ikiwemo vile
Historia ambapo wananchi wataona Mali kale ,wanyama na ndege ambao wapo
Tanzania tu.
Wakati akitembelea sehemu mbalimbali amewataka wananchi kujifunza masuala ya utunzaji wa mazingira ikiwemo mistu.
Naibu
Waziri huyo aliambatana na Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Dkt Allan Kijazi
ambapo alimtembeza sehemu zote za Taasisi zilizoshiriki maonesho hayo.
Post A Comment: