Msafara wa viongozi wanaosindikiza mwili wa aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tano Hayati Dkt. John Pombe Magufuli ulipokuwa ukiingia katika uwanja wa Magufuli uliopo Chato mkoani Geita tayari kwa ajili ya ibada ya mazishi, huku viongozi mbalimbali wakiongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan wakihudhuria.




















Share To:

Post A Comment: