Aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu  wa Baraza la Vijana CHADEMA Tanzania Bara,Getrud Ndibalema na baadae kujiuzuru nafasi hiyo mwezi Machi mwa mwaka jana (2018), jana  amejiunga na chama cha Mapinduzi CCM akipokelewa na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ndg Mussa Mwakitinya makao makuu ya chama hicho Dodoma


Share To:

Post A Comment: