Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na SerikalizaMitaaMhe. Selemani Jafo akiwasili katika  eneo la Mlowo inapojengwa Hospital yaWilayayaChamwinokwaajiliyaukaguziwamajengohayo.


Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. Selemani Jafo akikagua ujenzi wa HospitalI ya Wilaya ya Chamwino wakati waziara yake Wilayani humo.



WaziriwaNchiOfisiyaRaisTawalazaMikoanaSerikalizaMitaaMhe. SelemaniJafokitoaamelekezokwaMkuuwaWilayayaChamwinoMhe. VumiliaBogapamojanaMkurugenziwaHalmashaurihiyoNdg. AthumaniMasasi wakati waziarayakekukaguaujenziwa Hospital yaWilayakatikaeneo la Mlowo.



NteghenjwaHosseah, MlowaChamwino
Ni wiki mojasasatanguWaziriwaNchi, OfisiyaRaisTawalazaMikoanaSerikalizaMitaaMhe. SelemaniJafo (Mb) kutembeleaeneo la ujenziwa hospital yaWilayayaChamwinoinayojengwakatika Kata yaMlowoambapoalikutakusuasuakwaujenziwa hospital hiyoilihalifedhazilishapokelewazaidiyamiezimitanoiliyopita: Halihiyoilimpelekeakutoaagizo la kuendeleakwaujenzihuoharaka
HivileoWaziriJafpamerejeatenakatikaeneo la ujenziwa hospital hiyonakiushuhudiaujenziukiwaunaendeleakwakasinamajengozaidiyamatatuyakiwayameshaanzakupandanamengineyakiwayanakamilishwakwenyehatuayajamvi.
Mafundiwakutoshawakiwawanaendeleanashughulizaujenzikatikaeneo la MlowohukuMenejimentyaChamwinonayoikitoamuongozowanini cha kufanyasambambanaKamatiyaUlinzinaUsalamaikiwainahakikikuwakitukitukinaendakamakilivyopangwanimiongonimwavituvilivyomfanyaWaziriJafokurejeshaImaninaHalmashaurihiikuwawamejipangakukamilishajengoleondaniyamudakamaalivyoagiza.
AkizungumzakatikaziarahiyoMhe.Jafoamesemaamefurahikuonaujenziwa Hospital yaWilayaumefikiakatikahatuanzurinakuwatakawatendajiwaChamiwnokuendeleanakasihiyoili Hospital hiyoiwezekumailikamapemanaiweyenyeuborawahaliyajuu.
“Leo nawezakuwapongezammefanyakazikubwandaniya wiki mojaniliyowapasasanatakaikifikatarehe 12 Mei majengoya Hospital hiiyaweyamefikiahatuasiyochiniyaLentakwamajengoyotesabatayarikwakuezekanakuanziatarehe 25 Mei majengoyoteyaweyamepauliwakwaHospitali” alisisitizaJafo.
Wakati huohuoJafoameugizaUongoziwaHalmashauriyaWilayayaChamwinokuanzakupangaWilayahiyokwamujibuwasheriazamipangomijiiliuwezekuendananahadhiyaMakaoMakuuyaNchi.
“ChamwinoikokaribusananaJiji la Dodoma naJijihivisasawanaendakwakasisanakatikaupangajiwamaeneo, wanapimaviwanjawanauzanawanaongezamapatoyaolakinisioniizojitihadakatika Wilayah ii nanyiendiposehemuambapoIkuluimejengwamnatakiwamjiongezemuanzekupimamaeneonakuuzailimuongezenamapatoyaHalmashauriyenu” alisemaJafo.
Aliongezakuwakatikaeneohili la Mlowoambapo hospital inajengwamngenzakufanyamikutanonawananchiilimkubalienutaratibusahihiutakaotumikakatikakupimamaeneoyawakazilakinipiakutafutamaeneoambayoHalmashauriinawezakuyanunua, kuyapimanakuyauzakwawahitaji; Mhakikishemmetngamaeneoyahudumazakijamii, makazi, biasharanauwekezajihiiitawasisiasanakatikakuongezamapato.
HalmashauriyaWilayayaChamwinoilipatashilingiBil 1.5 kwaajiliyaujenziwa Hospital yaWilayamapemamweziOktoba – Novemba, 2018 nampakasasaujenzihuounaendeleavizuri.
Share To:

Post A Comment: