Mwanaume aliyevaa nguo nyekundu baada ya kuvua joho jekundu akiwa amesimama katika eneo la kuvukia Zebra eneo la Ushirika barabara ya Shinyanga - Mwanza baada ya kuvua joho lake jekundu na kubakiza tisheti na kaptura nyekundu . Pichani ni vifaa alivyokuwa navyo ikiwemo baiskeli,mfuko mwekundu,biblia,midoli,biblia na nguo nyekundu -Picha na Malunde1 blog
Jamaa akichezea mdoli barabarani
Mwanaume huyo akiwa ameshikilia msumeno na jembe akizuia magari yasipite
Jamaa akisimamisha magari
Jamaa akisimamisha mabasi
Jamaa akisimamisha basi
Askari polisi wakimwondoa barabarani jamaa huyo akiwa amevaa nguo nyekundu na kofia yenye msalaba
Askari polisi akiokota vifaa vya jamaa huyo ambavyo ni biblia,mto,nguo na mdoli
Askari polisi akiwa ameshikilia majembe ya jamaa huyo
Askari polisi akiruhusu magari yaendelee na safari
Mwanaume huyo akiwa chini ya ulinzi wa polisi baada ya kuondolewa barabarani.Nguo nyekundu hapo chini ni joho lake la kiaskofu alilolivua baada ya kuanza kusimamisha magari
Mwanaume huyo akiwa chini ya ulinzi wa polisi 
Mwanaume huyo akipelekwa kwenye gari la polisi
Askari polisi wakimpeleka jamaa huyo kwenye gari la polisi
Mwanaume huyo akipelekwa kwenye gari la polisi
Jamaa akipanda kwenye gari la polisi
Askari polisi akiwa ameshikilia msumeno na majembe mawili ya mwanaume huyo
Jamaa akiwa kwenye gari la polisi
Wananchi wakishuhudia tukio hilo
Mwanaume huyo akiondoka na polisi
Picha kwa hisani ya Malunde
Share To:

msumbanews

Post A Comment: