Naibu
Waziri wa Mifugo na Uvuvi na Mbunge
wa Jimbo la Mkuranga,Abdallah Ulega akizungumza na washiriki wa mbio za Jogging
kutoka maeneo mbalimbali ya wilaya hiyo na mkoa wa Dar es Salaam baada ya kumaliza kushiriki Joggingl leo kwenye viwanja vya Chuo cha Ualimu Vikindu wilaya ya Mkuranga Mkoa wa Pwani.Mhe Ulega amewaomba washiriki wa mbio hizo kufanya mazoezi kwa ajili ya afya pia amewapongeza waliojitokeza
kushiriki wa mazoezi hayo huku akiwasisitiza kuendeleza utaratibu wa kufanya
mazoezi mara kwa mara ilikuweka mwili sawa.
Naibu
Waziri wa Mifugo na Uvuvi na Mbunge wa Jimbo la Mkuranga,Abdallah Ulega
(katikati) leo ameshiriki mbio za pole pole Jogging na vijana wa maeneo
mbalimbali ya Wilaya ya Mkuranga na mkoa wa Dar es Salaam.kushoto ni Diwani wa kata ya Vikindu Mohammed Maundu. (Picha na Emmanuel Massaka wa Michuzi TV)
Naibu
Waziri wa Mifugo na Uvuvi na Mbunge wa Jimbo la Mkuranga,Abdallah Ulega
(wa kwanza kuli) akishiriki mazowezi baada ya kumaliza kukimbia mbio
za pole pole Jogging na vijana wa maeneo mbalimbali ya Wilaya ya
Mkuranga na mkoa wa mkoa wa Dar es Salaam, kwenye viwanja vya Chuo cha Ualimu Vikindu wilaya ya Mkuranga Mkoa wa Pwani. Mazowezi yakiendelea.
Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi na Mbunge wa Jimbo la Mkuranga,Abdallah Ulega akiwa katika picha ya pamoja na vikundu vya Jogging mara maada ya kumaliza kushiriki mazowezi yaliyofanyika kwenye viwanja vya Chuo cha Ualimu Vikindu wilaya ya Mkuranga Mkoa wa Pwani.
Post A Comment: