Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Mary Masanja akiwa katika picha mbalimbali za pamoja na Wabunge, Mwenyekiti wa UWT, Bi. Helen Bogohe ambaye aliwaongoza Wenyeviti na Makatibu wa Wilaya wa umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) wanaotokea mkoani Mwanza mara baada ya uwasilishwaji wa Bajeti ya Wizara ya Maliasili na Utalii kwa mwaka 2021/2022 katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Jijini Dodoma.

Share To:

TANGA RAHA BLOG

Post A Comment: