Kamishna wa Umeme na Nishati Jadidifu, Felchesmi Mramba (kwanza-kushoto), Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC), James Mataragio (katikati) Katibu wa Waziri, Danford Mpelumbe, wakimsikiliza Waziri wa Nishati, January Makamba (hayupo pichani) wakati wa kikao na Balozi wa Umoja wa Ulaya (EU) hapa nchini, kilichofanyika katika ofisi ndogo za Wizara ya Nishati zilizopo jijini Dar es Saalam, Novemba 17, 2021.
Waziri wa Nishati, January Makamba (kulia) akizungumza na Balozi wa Umoja wa Ulaya (EU) hapa nchini, Manfredo Fanti, wakati alipokuwa na kikao na balozi huyo katika ofisi ndogo za Wizara ya Nishati zilizopo jijini Dar es Saalam, Novemba 17, 2021.
Picha mbalimbali wakati wa kikao cha Waziri wa Nishati, January Makamba na Balozi wa Umoja wa Ulaya (EU) hapa nchini kilichofanyika katika ofisi ndogo za Wizara ya Nishati zilizopo jijini Dar es Saalam, Novemba 17, 2021.
Share To:

Post A Comment: