Profesa Lughano Kusiluka Mwenyekiti Mpya Baraza la Veterinari Tanzania.


Na Mwandishi Wetu 


Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Mashimba Ndaki amemteua Profesa. Lughano Kusiluka kuwa Mwenyekiti wa Baraza la Veterinari Tanzania.

Profesa Kusiluka ambaye ni Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Mzumbe anachukua nafasi hiyo iliyokuwa inashikiliwa na Profesa. Rudovick Kazwala ambaye muda wake umeisha.

Uteuzi huo utaanza rasmi kesho Septemba 1, 2021 kwa kipindi cha miaka minne (4).

 

Share To:

dotto mwaibale

Post A Comment: