Mshindi wa pili wa kampeni ya ‘SimBanking Mzigo Promosheni’, Madina Ramadhani akikabidhiwa gari lake na Mkuu wa Kitengo cha Wateja Binafsi kutoka Benki ya CRDB, Steve Adili katika hafla ya makabidhiano  iliyofanyika jijini Dodoma, leo, Agosti 9,2021
Mkuu wa Kitengo cha Wateja Binafsi kutoka Benki ya CRDB, Steve Adili akionyesha funguo ya gari aina ya Toyota IST aliloshinda mshindi wa pili wa kampeni ya ‘SimBanking Mzigo Promosheni’, Madina Ramadhani (wa tatu kushoto) wakati wa hafla ya kukabidhi zawadi hiyo jijini Dodoma, leo, Agosti 9,2021.  Wa pili kulia ni Meneja wa CRDB Kanda ya Kati, Chabu Miswaro. 
Mshindi wa pili wa kampeni ya ‘SimBanking Mzigo Promosheni’, Madina Ramadhani (katikati) akionyesha funguo na namba za gari mara baada ya kuibuka msihindi wa kampeni hiyo katika hafla iliyofanyika jijini Dodoma, leo, Agosti 9,2021, Agosti 9,2021. Wengine ni Mkuu wa Kitengo cha Wateja Binafsi kutoka Benki ya CRDB, Steve Adili (kulia) pamoja na Meneja wa CRDB Kanda ya Kati, Chabu Miswaro (wa tatu kushoto). 
Mshindi wa pili wa kampeni ya ‘SimBanking Mzigo Promosheni’, Madina Ramadhani  akipongezwa na Meneja wa CRDB Kanda ya Kati, Chabu Miswaro mara baada ya mshindi huyo kukabidhiwa zawadi yake ya gari aina ya Toyota IST katika hafla iliyofanyika jijini Dodoma, leo, Agosti 9,2021. 


Mshindi wa pili wa kampeni ya ‘SimBanking Mzigo Promosheni’, Madina Ramadhani (katikati) akizungumza mara baada ya mshindi huyo kukabidhiwa zawadi yake ya gari aina ya Toyota IST katika hafla iliyofanyika jijini Dodoma, jana. 

Mshindi wa pili wa kampeni ya ‘SimBanking Mzigo Promosheni’, Madina Ramadhani (katikati) akifurahi pamoja na Mkuu wa Kitengo cha Wateja Binafsi kutoka Benki ya CRDB, Steve Adili (kulia) pamoja na Meneja wa CRDB Kanda ya Kati, Chabu Miswaro mara baada ya mshindi huyo kukabidhiwa zawadi yake ya gari aina ya Toyota IST katika hafla iliyofanyika jijini Dodoma, jana. 

Share To:

Post A Comment: