Waziri wa Katiba na Sheria Mwigulu Nchemba akikaribishwa Ofisini na Katibu Mkuu Wa Wizara ya Katiba na Sheria Prof. Sifuni Ernest Mchome.

Waziri wa Katiba na Sheria Mwigulu Nchemba Kushoto kwake ni Katibu Mkuu Wizara ya Katiba na Sheria Prof. Sifuni Ernest Mchome, Kulia kwake ni Mwanasheria Mkuu wa Serikali Dr. Adelardus Kilangi, pamoja na Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Katiba na Sheria Amoni Mpanju
Share To:

Post A Comment: