Uteuzi Mpya Uliofanywa na Rais Magufuli Leo msumbanews on August 13, 2019 BREAKING NEWS, Rais Magufuli amemteua Jaji Mstaafu Ibrahim Sayida Mipawa kuwa Mwenyekiti wa Baraza la Maadili ya Viongozi wa Umma. Jaji Mstaafu Mipawa anachukua nafasi ya Jaji Mstaafu Januari Msofe ambaye ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Kurekebisha Sheria. Share To: NextNewer Post PreviousOlder Post msumbanews View Profile
Post A Comment: