TANZIA: Msanii wa BongoFleva Afariki Dunia msumbanews on August 16, 2019 TANZIA:, TANZIA Msanii kutoka kundi la THE MAFIK aitwaye MBALAMWEZI (pichani) , amefariki dunia kutokana na majeraha ambayo yanahisiwa kuwa amepigwa. Uchunguzi zaidi unaendelea kuhusu kifo chake. #MsumbaNewsBlogUpdates Share To: NextNewer Post PreviousOlder Post msumbanews View Profile
Post A Comment: