Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Luhaga Mpina akishirikiana na waomboleza
kubeba mwili wa Ofisa Mfawidhi wa Usimamizi wa Rasilimali za Uvuvi na Kupambana
na Uvuvi Haramu Kanda ya Ukerewe, Marehemu Ibrahim Juma Njarari aliyezikwa wa
kijijini kwake Kyangasaga wilayani Rorya mkoani Mara.
Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Luhaga Mpina akiweka udongo kwenye kaburi la Ofisa Mfawidhi wa Usimamizi wa Rasilimali za Uvuvi na Kupambana na Uvuvi Haramu Kanda ya Ukerewe, Marehemu Ibrahim Juma Njarari aliyezikwa wa kijijini kwake Kyangasaga wilayani Rorya mkoani Mara.
Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Luhaga Mpina akikabidhi Hati ya Ushujaa iliyotolewa na Wizara ya Mifugo na Uvuvi kwa Familia ya Ofisa Mfawidhi wa Usimamizi wa Rasilimali za Uvuvi na Kupambana na Uvuvi Haramu Kanda ya Ukerewe, Marehemu Ibrahim Juma Njarari aliyezikwa wa kijijini kwake Kyangasaga wilayani Rorya mkoani Mara.Wengine ni Mkuu wa Mkoa wa Mara, Mhe. Adam Malima na Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Abdalah Ulega
Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Luhaga Mpina akikabidhi Hati ya Ushujaa kwa Familia ya Ofisa Mfawidhi wa Usimamizi wa Rasilimali za Uvuvi na Kupambana na Uvuvi Haramu Kanda ya Ukerewe, Marehemu Ibrahim Juma Njarari aliyezikwa wa kijijini kwake Kyangasaga wilayani Rorya mkoani Mara.
Mkuu wa Wilaya ya Rorya, Samson Chacha na Mkurugenzi wa Uvuvi, Magesse
Bulayi wakiweka udongo kwenye kaburi la Ofisa Mfawidhi wa Usimamizi wa
Rasilimali za Uvuvi na Kupambana na Uvuvi Haramu Kanda ya Ukerewe, Marehemu
Ibrahim Juma Njarari aliyezikwa wa kijijini kwake Kyangasaga wilayani
Rorya mkoani Mara.
Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Luhaga Mpina akiweka udongo kwenye kaburi la Ofisa Mfawidhi wa Usimamizi wa Rasilimali za Uvuvi na Kupambana na Uvuvi Haramu Kanda ya Ukerewe, Marehemu Ibrahim Juma Njarari aliyezikwa wa kijijini kwake Kyangasaga wilayani Rorya mkoani Mara.
Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Luhaga Mpina akikabidhi Hati ya Ushujaa iliyotolewa na Wizara ya Mifugo na Uvuvi kwa Familia ya Ofisa Mfawidhi wa Usimamizi wa Rasilimali za Uvuvi na Kupambana na Uvuvi Haramu Kanda ya Ukerewe, Marehemu Ibrahim Juma Njarari aliyezikwa wa kijijini kwake Kyangasaga wilayani Rorya mkoani Mara.Wengine ni Mkuu wa Mkoa wa Mara, Mhe. Adam Malima na Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Abdalah Ulega
Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Luhaga Mpina akikabidhi Hati ya Ushujaa kwa Familia ya Ofisa Mfawidhi wa Usimamizi wa Rasilimali za Uvuvi na Kupambana na Uvuvi Haramu Kanda ya Ukerewe, Marehemu Ibrahim Juma Njarari aliyezikwa wa kijijini kwake Kyangasaga wilayani Rorya mkoani Mara.
Post A Comment: