Bwana
harusi Robert Lowassa akimvisha pete Mkewe Stephanie Kaaya wakati
wakifunga ndoa yao takatifu mwishoni mwa wiki iliyoisha katika Kanisa
la KKKT Jijini Arusha, na kufuatiwa na sherehe baab'kubwa katika Bustani
ya Kiringa iliyohudhuriwa na viongozi mbalimbali wa Kitaifa, Kidini na
watu wengi mashuhuri. Robert ni Mtoto wa Waziri Mkuu Mstaafu, Edward
Lowassa.
Bwana
harusi Robert Lowassa akivishwa pete ya ndoa na Mkewe Stephanie Kaaya
wakati wakifunga ndoa yao takatifu mwishoni mwa wiki iliyoisha katika
Kanisa la KKKT Jijini Arusha,
Maharusi
wakiwa na familia zao. Wa tatu kulia ni Waziri Mkuu Mstaafu, Edward
Lowassa ambaye ni Baba wa Bwana harusi na watatu kushoto ni Mama wa
Bwana Harusi, Mama Regina Lowassa.
Rais
Mstaafu wa Awamu ya Pili, Alhaj Ali Hassan Mwinyi akiwapongeza maharusi
wanati wa sherehe yao iliyofanyika, katika Bustani ya Kiringa, Jijini
Arusha mwishoni mwa wiki.
Rais
Mstaafu wa Awamu ya Pili, Alhaj Ali Hassan Mwinyi akisalimiana na
Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowassa wakati alipofika kwenye sherehe ya
harusi ya kijana wake, Robert Lowassa .
Makamu
wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Seif Ali Idd akisalimiana na Waziri
Mkuu Mstaafu, Edward Lowassa wakati alipofika kwenye sherehe ya harusi
ya kijana wake, Robert Lowassa .
Makamu
wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Seif Ali Idd akiwapongeza maharusi
wanati wa sherehe yao iliyofanyika, katika Bustani ya Kiringa, Jijini
Arusha mwishoni mwa wiki.
Waziri
wa Biashara na Viwanda, Amina Salum Ali akisalimiana na Waziri Mkuu
Mstaafu, Edward Lowassa wakati alipofika kwenye sherehe ya harusi ya
kijana wake, Robert Lowassa .
Waziri
wa Nchi Afisi ya Makamu wa Pili wa rais Zanzibar Mhe: Mohamed Aboud
Mohamed akisalimiana na Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowassa wakati
alipofika kwenye sherehe ya harusi ya kijana wake, Robert Lowassa.
Mmoja
wa Wanasiasa Wakongwe na Rafiki Mkubwa wa Waziri Mkuu Mstaafu, Edward
Lowassa, Rostam Aziz akilipowasili kwenye sherehe hiyo.
Post A Comment: