WhatsApp%2BImage%2B2019-07-16%2Bat%2B12.43.34%2BPM
Bwana harusi Robert Lowassa akimvisha pete Mkewe Stephanie Kaaya wakati wakifunga ndoa yao  takatifu mwishoni mwa wiki iliyoisha katika Kanisa la KKKT Jijini Arusha, na kufuatiwa na sherehe baab'kubwa katika Bustani ya Kiringa iliyohudhuriwa na viongozi mbalimbali wa Kitaifa, Kidini na watu wengi mashuhuri. Robert  ni Mtoto wa Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowassa.
WhatsApp%2BImage%2B2019-07-16%2Bat%2B12.43.33%2BPM
Bwana harusi Robert Lowassa akivishwa pete ya ndoa na Mkewe Stephanie Kaaya wakati wakifunga ndoa yao  takatifu mwishoni mwa wiki iliyoisha katika Kanisa la KKKT Jijini Arusha,
WhatsApp%2BImage%2B2019-07-16%2Bat%2B12.43.35%2BPM

WhatsApp%2BImage%2B2019-07-16%2Bat%2B11.24.39%2BAM
Maharusi wakiwa na familia zao. Wa tatu kulia ni Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowassa ambaye ni Baba wa Bwana harusi na watatu kushoto ni Mama wa Bwana Harusi, Mama Regina Lowassa.
WhatsApp%2BImage%2B2019-07-16%2Bat%2B11.24.38%2BAM
Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili, Alhaj Ali Hassan Mwinyi akiwapongeza maharusi wanati wa sherehe yao iliyofanyika, katika Bustani ya Kiringa, Jijini Arusha mwishoni mwa wiki.
WhatsApp%2BImage%2B2019-07-16%2Bat%2B11.24.38%2BAM%2B%25281%2529
Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili, Alhaj Ali Hassan Mwinyi akisalimiana na Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowassa wakati alipofika kwenye sherehe ya harusi ya kijana wake, Robert Lowassa .
WhatsApp%2BImage%2B2019-07-16%2Bat%2B11.24.37%2BAM
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Seif Ali Idd akisalimiana na Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowassa wakati alipofika kwenye sherehe ya harusi ya kijana wake, Robert Lowassa .
WhatsApp%2BImage%2B2019-07-16%2Bat%2B11.24.39%2BAM%2B%25281%2529
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Seif Ali Idd akiwapongeza maharusi wanati wa sherehe yao iliyofanyika, katika Bustani ya Kiringa, Jijini Arusha mwishoni mwa wiki.
WhatsApp%2BImage%2B2019-07-16%2Bat%2B11.24.43%2BAM
Waziri wa Biashara na Viwanda, Amina Salum Ali akisalimiana na Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowassa wakati alipofika kwenye sherehe ya harusi ya kijana wake, Robert Lowassa .
WhatsApp%2BImage%2B2019-07-16%2Bat%2B11.24.40%2BAM
Waziri wa Nchi Afisi ya Makamu wa Pili wa rais Zanzibar Mhe: Mohamed Aboud Mohamed akisalimiana na Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowassa wakati alipofika kwenye sherehe ya harusi ya kijana wake, Robert Lowassa.
WhatsApp%2BImage%2B2019-07-16%2Bat%2B11.37.31%2BAM
Mmoja wa Wanasiasa Wakongwe na Rafiki Mkubwa wa Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowassa, Rostam Aziz akilipowasili kwenye sherehe hiyo.
WhatsApp%2BImage%2B2019-07-16%2Bat%2B11.24.36%2BAM%2B%25281%2529

WhatsApp%2BImage%2B2019-07-16%2Bat%2B11.24.36%2BAM


WhatsApp%2BImage%2B2019-07-16%2Bat%2B11.37.32%2BAM%2B%25281%2529

WhatsApp%2BImage%2B2019-07-16%2Bat%2B11.37.32%2BAM%2B%25282%2529

WhatsApp%2BImage%2B2019-07-16%2Bat%2B11.37.32%2BAM

WhatsApp%2BImage%2B2019-07-16%2Bat%2B11.24.43%2BAM%2B%25281%2529

Share To:

msumbanews

Post A Comment: