Askari Mpakani mwa Tanzania na Kenya kwenye eneo la Namanga
akimwekea kwenye mikono Dawa ya kusafishia mikono msafiri aliyekuwa akipita
katika mpaka huo wakati wa zoezi la Kupima Utayari wa nchi
wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki Kukabiliana na magonjwa ya mlipuko
mipakani, leo tarehe 13, Juni 2019.
Daktari katika mpaka wa Tanzania na Kenya kwenye eneo la
Namanga, Anna Anthony, akiwapima wasafiri wanaopita katika mpaka
huo, wakati wa zoezi la Kupima Utayari wa nchi wanachama wa
Jumuiya ya Afrika Mashariki Kukabiliana na magonjwa ya mlipuko
mipakani, leo tarehe 13 Juni, 2019.
Mtaalamu wa Afya akimhudumia mmoja wa wasafiri waliokuwa
wakipita katika mpaka wa Tanzania na Kenya, kwenye eneo la Namanga aliyeigiza
kuugua, wakati wa zoezi la Kupima Utayari wa nchi wanachama wa
Jumuiya ya Afrika Mashariki Kukabiliana na magonjwa ya mlipuko
mipakani, leo tarehe 13 Juni, 2019.
Baadhi ya Wataalamu wa Afya wakimhudumia mmoja wa
wasafiri waliokuwa wakipita katika mpaka wa Tanzania na Kenya, kwenye eneo la
Namanga aliyeigiza kuugua, wakati wa zoezi la Kupima Utayari wa
nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki Kukabiliana na magonjwa ya
mlipuko mipakani, leo tarehe 13 Juni, 2019.
Mtaalamu wa Afya akipata maelezo kutoka kwa ndugu wa mmoja wa wasafiri waliokuwa wakipita katika mpaka wa Tanzania
na Kenya, kwenye eneo la Namanga aliyeigiza kuugua, wakati
wa zoezi la Kupima Utayari wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika
Mashariki Kukabiliana na magonjwa ya mlipuko mipakani, leo tarehe
13 Juni, 2019.
Mtaalamu wa Afya akinyunyizia dawa gari ambalo lilikuwa
limewabeba abiria walioigiza kuumwa wakati wakitaka kupita katika mpaka
wa Tanzania na Kenya, kwenye eneo la Namanga, wakati
wa zoezi la Kupima Utayari wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika
Mashariki Kukabiliana na magonjwa ya mlipuko
mipakani, leo tarehe 13 Juni, 2019.
Post A Comment: