Kaimu mkuu wa
Chuo cha serikali za mitaa Hombolo akizungumza wakati wa ufunguzi wa kikao cha
kuwajengea uwezo wakurugenzi wa halmashauri kuandaa maandiko ya miradi ya
kimkakati, jijini Dodoma.
Mkurugenzi msaidizi
idara ya serikali za mitaa, toka TAMISEMI, Anjerista Kihaga, akizungumza wakati
wa ufunguzi wa kikao cha kuwajengea uwezo wakurugenzi wa halmashauri kuandaa
maandiko ya miradi ya kimkakati, jijini Dodoma.
Waziri wa Nchi Ofisi
ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali, Selemani Jafo, akiwa katika picha ya
pamoja na baadhi ya wakurugenzi wa halmashauri baada ya kufungua mafunzo
ya kuwajengea uwezo wakurugenzi wa halmashauri namna ya kuandika maandiko ya
miradi ya kimkakati, jijini Dodoma.
Baadhi ya
wakurugenzi wa halmashauri wakiwa katika kikao cha kuwajengea uwezo kuandaa
maandiko ya miradi ya kimkakati, jijini Dodoma.
(PICHA ZOTE NA EZEKIEL
NASHON).
Post A Comment: