Picha mbalimbali zikionesha
Ndege ya Abiria ya Shirika la Ndege la Tanzania ATCL aina na Airbus A220-300
ikipakia abiria katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere jijini
Dar es Salaam kabla ya kuondoka kuanza safari yake ya kwanza ya kuelekea nchini
Afrika Kusini leo tarehe 28/06/2019.
Ndege ya Abiria ya Shirika la
Ndege la Tanzania ATCL aina na Airbus A220-300 ikiruka kuelekea nchini Afrika
Kusini leo tarehe 28/06/2019 ikiwa
ni uzinduzi wa Safari yake ya kwanza kwenda nchini humo. Picha na IKULU
Post A Comment: