Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof.
Joyce Ndalichako akiwa katika picha ya pamoja na Wanafunzi Kumi bora wa
Darasa la Saba 2018 mara baada ya kumaliza hafla ya Siku ya Elimu
iliyoambatana na utoaji tuzo kwa Wanafunzi Bora wa Darasa la Saba,
Kidato cha Nne na Kidato cha Sita kwa Mwaka 2018 leo jijini Dodoma.
Hafla hiyo imefanyika katika ukumbi wa Shule ya Sekondari Wasichana
Msalato na kuhudhuriwa na wadau mbalimbali wa sekta ya elimu.
Prof. Joyce Ndalichako akizungumza
wakati wa hafla ya Siku ya Elimu iliyoambatana na utoaji tuzo kwa Wanafunzi Bora wa Darasa la
Saba, Kidato cha Nne na Kidato cha Sita
kwa Mwaka 2018 leo jijini Dodoma. Hafla hiyo imefanyika katika ukumbi wa Shule
ya Sekondari Wasichana Msalato na kuhudhuriwa na wadau mbalimbali wa sekta ya
elimu.
Naibu
Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi
na Teknolojia, Dkt. Avemaria Semakafu akizungumza wakati wa hafla ya Siku ya Elimu
iliyoambatana na utoaji tuzo kwa
Wanafunzi Bora wa Darasa la Saba, Kidato cha Nne na Kidato cha Sita kwa Mwaka 2018 leo jijini Dodoma. Hafla
hiyo imefanyika katika ukumbi wa Shule ya Sekondari Wasichana Msalato na
kuhudhuriwa na wadau mbalimbali wa sekta ya elimu.
Mwakilishi
wa Katibu Mkuu wa Ofisi ya Rais –TAMISEMI, Bibi. Odilia Joseph Mushi
akizungumza wakati wa hafla ya Siku ya Elimu iliyoambatana na utoaji tuzo kwa Wanafunzi Bora wa Darasa la
Saba, Kidato cha Nne na Kidato cha Sita
kwa Mwaka 2018 leo jijini Dodoma. Hafla hiyo imefanyika katika ukumbi wa Shule
ya Sekondari Wasichana Msalato na kuhudhuriwa na wadau mbalimbali wa sekta ya
elimu.
Kaimu
Kamishna wa Elimu Tanzania, Lyabwna Mtahabwa akielezea tuzo za Wanafunzi Bora
wa Darasa la Saba, Kidato cha Nne na Kidato cha
Sita kwa Mwaka 2018 wakati wa hafla ya Siku ya Elimu iliyoambatana
na utoaji tuzo hizo leo jijini Dodoma.
Hafla hiyo imefanyika katika ukumbi wa Shule ya Sekondari Wasichana Msalato na
kuhudhuriwa na wadau mbalimbali wa sekta ya elimu.
Baadhi
ya wanafunzi wa Shule ya Sekondari Wasichana Msalato ya jijini Dodoma
wakifuatilia hafla ya Siku ya Elimu iliyoambatana na utoaji tuzo kwa Wanafunzi Bora wa Darasa la
Saba, Kidato cha Nne na Kidato cha Sita
kwa Mwaka 2018 leo jijini Dodoma. Hafla hiyo imefanyika katika ukumbi wa Shule
ya Sekondari Wasichana Msalato na kuhudhuriwa na wadau mbalimbali wa sekta ya
elimu.
Miongoni mwa wanafunzi bora wa Kidato cha Sita mwaka 2018 tokea Shule ya
Sekondari Mvumi, Erick Maximilian akipokea cheti na zawadi pesa taslimu
shilingi milioni 1.5 toka kwa Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof.
Joyce Ndalichako wakati wa hafla ya Siku ya Elimu iliyoambatana na utoaji tuzo kwa Wanafunzi Bora wa Darasa la
Saba, Kidato cha Nne na Kidato cha Sita
kwa Mwaka 2018 leo jijini Dodoma. Pamoja na kuwa mwanafunzi huyo kuwa ni mwenye
mahitaji maalum.
Meneja
wa Shule ya Kaizirege and Kemebos toka Bukoba,Eulogius William akipokea cheti na tuzo toka kwa Prof. Joyce
Ndalichako kutambua mchango wa Shule zilizofanya vizuri katika matokeo ya mwaka
2018 wakati wa hafla ya Siku ya Elimu iliyoambatana na utoaji tuzo kwa Wanafunzi Bora wa Darasa la
Saba, Kidato cha Nne na Kidato cha Sita
kwa Mwaka 2018 leo jijini Dodoma. Pamoja na kuwa mwanafunzi huyo kuwa ni mwenye
mahitaji maalum.
Prof.
Joyce Ndalichako akiwa katika picha ya pamoja na Wanafunzi Kumi bora wa Kidato
cha Nne mwaka 2018 mara baada ya kumaliza hafla ya Siku ya Elimu iliyoambatana
na utoaji tuzo kwa Wanafunzi Bora wa
Darasa la Saba, Kidato cha Nne na Kidato cha
Sita kwa Mwaka 2018 leo jijini Dodoma. Hafla hiyo imefanyika katika
ukumbi wa Shule ya Sekondari Wasichana Msalato na kuhudhuriwa na wadau
mbalimbali wa sekta ya elimu.
Prof.
Joyce Ndalichako akiwa katika picha ya pamoja na Wanafunzi Kumi bora wa Kidato
cha Sita mwaka 2018 mara baada ya kumaliza hafla ya Siku ya Elimu iliyoambatana
na utoaji tuzo kwa Wanafunzi Bora wa
Darasa la Saba, Kidato cha Nne na Kidato cha
Sita kwa Mwaka 2018 leo jijini Dodoma. Hafla hiyo imefanyika katika
ukumbi wa Shule ya Sekondari Wasichana Msalato na kuhudhuriwa na wadau
mbalimbali wa sekta ya elimu.
Prof. Joyce Ndalichako akiwa katika picha ya pamoja na na wajumbe wa Kamati ya Maandalizi ya hafla ya Siku ya Elimu ya Siku ya Elimu iliyoambatana na utoaji tuzo kwa Wanafunzi Bora wa Darasa la Saba, Kidato cha Nne na Kidato cha Sita kwa Mwaka 2018 mara baada ya kumaliza hafla hiyo leo jijini Dodoma. Hafla hiyo imefanyika katika ukumbi wa Shule ya Sekondari Wasichana Msalato na kuhudhuriwa na wadau mbalimbali wa sekta ya elimu. (Picha na: Frank Shija –MAELEZO)
Post A Comment: