Home
MATUKIO
Picha: Stendi ya mabasi Njombe yaanza kutumika
Na Amiri kilagalila-Njombe
Agizo la Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania John pombe Magufuli, kuanza kutumika kwa stendi ya mkoa wa Njombe mei 10 limetekelezeka hii leo mei 11, stendi imeanza kutumika kwa magari yote huku baadhi ya maeneo ujenzi ukiendelea kukamilishwa.
Back To Top
Post A Comment: