Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masuala ya Watu
wenye Ulemavu Mhe. Stella Ikupa akieleza jambo kuhusu
umuhimu wa kuwajali Watu wenye Ulemavu wakati alipokuwa
akitoa msaada
wa baiskeli kwa mtoto Happy Shabani Salumu wenye Ulemavu, Jijini Dodoma
Mei 15, 2019.
Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Huduma kwa Watu wenye Ulemavu Bi. Josephine
Lyengi akizungumza na mzazi wa Mtoto huyo Bi. Magreth Leo.
|
Bi. Magreth Leo (katikati) akimwelezea jambo Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masuala ya Watu wenye Ulemavu Mhe. Stella Ikupa (kushoto) kuhusu mtoto wake Happy Shabani Salumu wenye Ulemavu. Kulia ni Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Huduma kwa Watu wenye Ulemavu Bi. Josephine Lyengi. |
Post A Comment: