1
Mwenyekiti wa Tume ya Utumishi wa Umma, Jaji mstaafu Dkt. Steven James Bwana (kulia) akizungumza katika mahojiano maalum na bwana Rutengano Haonga wa TBC 1 (kushoto) yaliyofanyika leo jijini Dar es Salaam. (Picha na PO PSC)
2
Mwenyekiti wa Tume ya Utumishi wa Umma Jaji mstaafu Dkt. Steven James Bwana (kulia) akiteta jambo na bwana Rutengano Haonga wa TBC 1 (katikati) jijini Dar es Salaam . (Picha na PO PSC)
Share To:

msumbanews

Post A Comment: