Mkurugenzi Mwendeshaji wa AICC Ndugu Elishilia Kaaya anasikitika kutangaza kifo cha Baba yake Mzazi Mzee Daniel Saitore Kaaya DSK kilichotokea  Jumatano Usiku tarehe 06/03/ 2019 katika Hospitali ya AICC Arusha.

Mazishi yanatarajiwa kufanyika nyumbani kwake  kijijini Nguruma Duluti wilayani Arumeru siku ya jumanne tarehe 12/03/2019.Habari ziwafikie ndugu jamaa na marafiki
Share To:

msumbanews

Post A Comment: