PIX 1 B PIX 1
Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Juliana Shonza akizungumza jana Mkoani Morogoro wakati aliposhiriki hafla ya kufunga Kongamano la 11 la Chama cha Wanafunzi wa Kiswahili Vyuo Vikuu Tanzania (CHAWAKITA) lililofanyika katika Chuo Kikuu cha Waisilam Mkoani hapo (MUM).
PIX 2
Makamu Mkuu wa Chuo cha Waislam  Morogoro akizungumza jana Mkoani hapo wakati wa Hafla ya kufunga Kongamano la 11 la Chama cha Wanafunzi wa Kiswahili Vyuo Vikuu Tanzania (CHAWAKITA) iliyofanywa na Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Juliana Shonza(hayupo pichani)
PIX 3
Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Juliana Shonza(wa pili kushoto) akipokea zawadi ya picha kwa ajili ya kumkabidhi Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.John Pombe Magufuli kutokana na mchango wake katika matumizi ya lugha ya Kiswahili kutoka kwa Mwenyekiti wa Chama cha Wanafunzi wa Kiswahili Vyuo Vikuu Tanzania (CHAWAKITA)  Bw.Hamis Hemedi jana Mkoani Morogoro wakati aliposhiriki hafla ya kufunga Kongamano la 11 lilioandaliwa na chama hicho katika Chuo cha Waisilam Mkoani hapo (MUM).
PIX 4
Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Juliana Shonza(wa pili kushoto) akipokea zawadi ya picha kwa ajili ya Wizara yake kutokana na mchango wa uhamasihaji wa matumizi ya lugha ya Kiswahili kutoka kwa  Mwenyekiti wa Chama cha Wanafunzi wa Kiswahili Vyuo Vikuu Tanzania (CHAWAKITA) Bw.Hamis Hemedi jana Mkoani Morogoro wakati aliposhiriki hafla ya kufunga Kongamano la 11 lilioandaliwa na chama hicho katika Chuo cha Waisilam Mkoani hapo (MUM).
PIX 5
Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Juliana Shonza(wa pili kushoto) akipewa cheti cha shukran na Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Waislamu Morogoro Dkt.Yahya Abdallah  kutokana na mchango wake kwa Wanafunzi wa Kiswahili Vyuo Vikuu Tanzania (CHAWAKITA) wakati aliposhiriki hafla ya kufunga Kongamano la 11 lilioandaliwa na chama hicho jana Mkoani Morogoro.
PIX 6
Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Juliana Shonza(katikati) akiwa katika picha ya pamoja na Wanafunzi waliofanya vizuri katika uandishi wa hadithi fupi za Kiswahili  wakati aliposhiriki hafla ya kufunga Kongamano la 11 la Chama cha Wanafunzi wa Kiswahili Vyuo Vikuu Tanzania (CHAWAKITA) lililofanyika katika Chuo Kikuu cha Waisilam Mkoani hapo (MUM).
Share To:

Post A Comment: