WhatsApp%2BImage%2B2019-03-29%2Bat%2B6.24.27%2BPM
 Mbunge wa Chalinze Ridhiwani Kikwete akiwa ndani ya gari lililobeba mabomba yanayoelekea kwenye jimbo lake kwa ajili ya mradi wa maji wa Mlandizi Mboga baada ya kutembelea kiwanda cha Mabomba cha Tanzania Steel Pipes leo Jijini Dar es Salaam.
WhatsApp%2BImage%2B2019-03-29%2Bat%2B6.24.29%2BPM%25281%2529
 Gari iloyobeba mabomba kwa ajili ha ujenzi wa mradi wa maji wa Mlandizi Mboga likiwa tayari kwa ajili ya safari ya kuelekea Chalinze.
WhatsApp%2BImage%2B2019-03-29%2Bat%2B6.24.29%2BPM
 Kaimu Afisa Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Majisafi na Majitaka DAWASA Mhandisi Arone Joseph akizungumza na waandishi wa habari baada ya kukamilika kwa ziara ya Mbunge wa Chalinze Ridhiwani Kikwete (kushoto) kwenye kiwanda cha Mabomba cha Tanzania Steel Pipes leo Jijini Dar es Salaam.
WhatsApp%2BImage%2B2019-03-29%2Bat%2B6.24.30%2BPM%25281%2529
 Mbunge wa Chalinze Ridhiwani Kikwete akiwa anakagua eneo lilalotengenezwa mabomba ya kusambazia maji yatakayotumika kwenye mradi wa maji Mlandizi Mboga leo Jijini Dar es Salaam.
WhatsApp%2BImage%2B2019-03-29%2Bat%2B6.24.30%2BPM
 Mbunge wa Chalinze Ridhiwani Kikwete akiwa anakagua eneo lilalotengenezwa mabomba ya kusambazia maji yatakayotumika kwenye mradi wa maji Mlandizi Mboga leo Jijini Dar es Salaam.
WhatsApp%2BImage%2B2019-03-29%2Bat%2B6.24.31%2BPM
Mbunge wa Chalinze akielezea kwa umakini ramani ya mradi wa Mlandizi Mboga unaotarajiwa kuanza kujengwa Katikati ya mwezi April mwaka huu utakaohudumia wakazi wa jimboni kwake akiwa sambamba na Kaimu Afisa Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Majisafi na Majitaka DAWASA Mhandisi Arone Joseph na Mkurugenzi wa Miradi DAWASA Mhandisi Lydia Ndibalema.
Share To:

msumbanews

Post A Comment: