Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro akimvisha nishani ya dhahabu SGT Kenya wa kikosi cha kutuliza ghasia alioipata wakati wa  mashindano ya majeshi  (BAMMATA)  hivi  karibuni katika uwanja wa Uhuru  jijini dare s salaam. PICHA NA JESHI LA POLISI.


Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro akiwa katika picha ya pamoja na wachezaji wa michezo mbalimbali walioshiriki katika mashindano ya michezo ya majeshi (BAMMATA). IGP alikutana na wanamichezo hao Makao Makuu ya Polisi kuwapongeza na kuwatia moyo ili wafanye vizuru zaidi katika michezo ijayo. PICHA NA JESHI LA POLISI.

Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro akikabidhiwa moja ya makombe yaliyopatikana katika michezo ya majeshi (BAMMATA) katika mashindano yaliyomalizika hivi karibuni katika uwanja wa taifa jiji Dar es Salaam. Anayemkabidhi kombe ni Mrakibu SP Mtafi, Afisa Mnadhimu wa Kikosi cha Kutuliza. PICHA NA JESHI LA POLISI.

Share To:

Post A Comment: