Watu 11 wamefariki baada Magari manne kugongana katika mteremko wa Igawilo mkoani Mbeya.

 Inaelezwa kuwa Lori lililokuwa linatoka Rungwe kwenda Mbeya Mjini lilifeli breki na kuigonga Hiace ambapo ilipoteza mwelekeo na kuyagonga magari ya mbele yake.

Share To:

Anonymous

Post A Comment: