Aliyekuwa Diwani kupitia chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kata ya Kigala Wilayani Makete Mkoani NJOMBE  Kelvin Nguvila ametangaza kujiuzulu nafasi hiyo na nyadhifa zake zote ndani ya Chadema na kujiunga rasmi CCM jana jioni.

Akitangaza uamuzi huo jana jioni mbele ya Mwenyekiti wa CCM Wilaya hiyo, Mh.Ona Nkwama,alisema Bw.Nguvila ameamua kuondoka Chadema na kujiunga CCM kwa lengo la kumuunga mkono Rais John Magufuli katika jitihada za kuwaletea Maendeleo Wananchi wake wa Kata ya Kigala
Share To:

msumbanews

Post A Comment: