Afya ya mchekeshaji mkongwe nchini Tanzania, Mzee Majuto bado sio nzuri kwani amelazwa tena katika chumba cha wagonjwa mahututi (ICU) katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili  Jumanne ya wiki hii.
Image result for mzee majuto
Mzee Majuto
Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Hospitali ya Muhimbili, Aminiel Aligaesha ndiye aliyethibitisha taarifa hizo za kulazwa kwa Mzee Majuto.
Hii inakuwa mara ya pili kwa mchekeshaji huyo kulazwa katika Hospitali ya Muhimbili kwani mapema mwaka huu alilazwa Hospitalini hapo kabla ya kupelekwa India kwa matibabu zaidi.
Share To:

msumbanews

Post A Comment: