Mwenyekiti wa chama cha Mapinduzi CCM Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli  akiongoza Kikao cha Kamati Kuu (CC) ya CCM kilichofanyika katika Ofisi ndogo za chama  hicho Lumumba Jijini Dar es Salaam. 
Mwenyekiti wa chama cha Mapinduzi CCM Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.John Pombe Magufuli  akipiga makofi  pamoja na wajumbe wengine wa Kamati Kuu (CC) ya CCM mara baada ya kuwasili  ukumbini kwa ajili ya kuongoza Kikao hicho kilichofanyika katika Ofisi ndogo za chama  hicho Lumumba Jijini Dar es salaam. PICHA NA IKULU
Share To:

msumbanews

Post A Comment: