
Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Meru Ndg. Christopher Kazeri alipofika kwenye Shule ya Sekondari Kisimiri na kupokelewa na Makamu mkuu wa shule ya Sekondari Kisimiri Mwl. John Awe.

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Meru Ndg. Christopher Kazeri akitoa pongezi kwa walimu wa Shule ya Sekondari Kisimiri kwa jitihada zao walimu zilizo ifanya shule hiyo kuwa mshindi wa pili kitaifa katika matokeo ya kidato cha sita kwa mwaka huu 2018

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Meru Ndg. Christopher Kazeri akizungumza na walimu wa Shule ya Sekondari Kisimiri.

Nyuso zinazoashiria kufurahia ushindi wa Shule ya Sekondari Kisimiri kushika nafasi ya pili kitaifa kwenye matokeo ya kidato cha Sita mwaka 2018,Kulia kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Meru Ndg. Christopher Kazeri ni Makamu mkuu wa shule ya Sekondari Kisimiri Mwl. John Awe

Mkuu wa Idara ya Utawala na Rasilimali watu ,Grace Mbilinyi Akitoa ufafanuzi wa maswala ya watumishi yaliyoulizwa na walimu wa Shule ya Sekondari Kisimiri.

mwakilishi wa Afisa elimu Sekondari Mwl. Angela Urasa alipokuwa akiwapongeza walimu wa Shule ya Sekondari Kisimiri

Baadhi ya Walimu wa Shule ya Sekondari Kisimiri walipo kuwa kwenye kikao cha pongezi baina yao na mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Meru.

Baadhi ya Walimu wa Shule ya Sekondari Kisimiri walipo kuwa kwenye kikao cha pongezi baina yao na mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Meru

Baadhi ya Walimu wa Shule ya Sekondari Kisimiri walipo kuwa kwenye kikao cha pongezi baina yao na mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Meru.

Baadhi ya Walimu wa Shule ya Sekondari Kisimiri walipo kuwa kwenye kikao cha pongezi baina yao na mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Meru

Picha ya pamoja ya viongozi toka wa Halmashauri na walimu wa Shule ya Sekondari Kisimiri.
No comments:
Post a Comment