Aliyekuwa Baby Mama wa Diamond Platnumz, Zari The Boss Lady ameonyesha ni kiasi gani anamkumbuka aliyekuwa mume wake, Ivan Ssemwanga ‘Ivan Don’ ambaye ni Marehemu kwa sasa.

Zari ameshare picha ya zamani katika mtandao wa Instagram ikimuonyesha Don akiwa na mwanaye, Pinto ambaye ni mkubwa kwa sasa na kuandika;
Ni vigumu kuamia ni takribani mwaka mmoja sasa tangu Mungu alipokuita, naona ni kama jana. Hakuna siku inayopita bila kukuombea pamoja mama yako. Roho zenu ziendelee kupumzika kwa amani.
Hakika sisi huja kutoka mbali. Hapa Don anaonekana amembeba Pinto (ambaye ni mkubwa sasa), alianza naye kutoka mbali.
Can’t believe its almost a year since God called you, it seems like yesterday. No day passes that i don’t pray for you and mom. May your souls continue resting in peace.
We surely come from far. Here Don is seen carrying Pinto ( who is a giant now), started from the botton right? Your missed🌹#RandomPost
Ivan alifariki May 25, 2017, alijipatia umaarufu mkubwa tangu nchini mwake Uganda hadi Afrika Kusini ambako ameacha utajiri mkubwa uliomfanya kuwa mmoja ya watu matajiri nchini humo kabla ya kufikwa na mauti.
Share To:

msumbanews

Post A Comment: